Wachezaji wa kimataifa wa Tanzania, wakiwemo nahodha Mbwana Samatta, Saimon Msuva na Farid Mussa, wanatarajiwa kuwasili usiku huu kujiunga na kambi ya TaifaStars inayojiandaa na michezo miwili ya kusaka tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2021.

Post a Comment

Previous Post Next Post