HomeMatukio Habari za hivi punde ni kuhusu Ajali huko Mkoa wa Kilimanjaro.. Mwl Manyama Sunday, August 04, 2019 0 Comments Facebook Twitter HABARI Ajali ya basi imetokea asubuhi ya leo katika kijiji cha Uchira wilayani Moshi, ikihusisha basi la kampuni ya Hood lenye namba T 779 AVL lililokuwa likitokea mkoani Arusha kuelekea Mbeya. Inaelezwa abiria wote wako salama. Tags Matukio Facebook Twitter
Laini za simu milioni 2 pekee ndizo zimesajiliwa kwa alama za vidole kati ya Milioni 44 Thursday, September 19, 2019
Post a Comment