HABARI Ajali ya basi imetokea asubuhi ya leo katika kijiji cha Uchira wilayani Moshi, ikihusisha basi la kampuni ya Hood lenye namba T 779 AVL lililokuwa likitokea mkoani Arusha kuelekea Mbeya. Inaelezwa abiria wote wako salama.

Post a Comment

أحدث أقدم