Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Juma Mfinanga kuhusu hali za majeruhi 43 ambao wanapatiwa matibabu mara baada ya kuungua miili yao katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro baada ya Lori la Mafuta kupinduka na kuteketea kwa moto.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati alipokuwa akiwajulia hali majeruhi wa ajali ya moto ambao wameletwa kutoka mkoani Morogoro kwa ajili ya matibabu.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwajulia hali majeruhi wa ajali ya moto ambao wamelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili mara baada ya kusafirishwa kutokea mkoani Morogoro.
 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi mbalimbali katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili mara baada ya kutoka kuwajulia hali majeruhi 43 wa ajali ya moto ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Profesa Lawrence Museru na wa kwanza kulia ni Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali Dkt. Juma Mfinanga.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Juma Mfinanga kuhusu hali za majeruhi 43 ambao wanapatiwa matibabu mara baada ya kuungua miili yao katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro. Wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Profesa Lawrence Museru.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka katika kitengo cha Dharura na kuelekea katika Wodi za Wagonjwa kwa ajili ya kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya moto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka katika wodi ya Sewahaji mara baada ya kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya moto. PICHA NA IKULU

Post a Comment

أحدث أقدم