Mkurugenzi wa Bwaiyetu Blog Ezekiel Manyama na Timu nzima kwa ujumla tunawatakia Watanzania wote heri ya mwaka mpya.
Tusherehekee kwa amani sikukuu ya mwaka na pia tukumbuke tamko la jeshi la polisi juu ya kusherehekea mwaka mpya.

 

Post a Comment

Previous Post Next Post