Madaktari wa magonjwa ya wanawake wameonya kuhusu hatari inayotokana na kutumia mvuke wa moto kwenye sehemu za siri, baada ya kutokea kuwa mwanamke mmoja alijiunguza sehemu zake za siri alipo kuwa akitumia mvuke wa maji kufusha au kufukiza sehemu za siri.
.

Waswahili husema urembo unauma. Je ni maumivu kiasi gani unayoweza vumilia ili kupata urembo au kupendeza?

Post a Comment

Previous Post Next Post