Ripoti za kitabibu zilizotolewa baada ya mwili wa George Floyd Kuchunguzwa zinasema kwamba, George hajakutwa na majeruhi yoyote mwilini mwake, bali alikua anasumbuliwa na Magonjwa nyemelezi ikiwemo ugonjwa wa Moyo .
Hivyo kwa mujibu wa Ripoti hiyo , magonjwa hayo pamoja na Mshituko wa kukamatwa na Polisi ndivyo vimemuua , Lakini si Mateso !
[Source : CNN] .

#JusticeForGeorgeFloyd

Post a Comment

Previous Post Next Post